Kuna siku I think baada ya raisi mama Samia kuapishwa, Mstaafu Mabeyo alisema kuna kitu aliambiwa na Magufuli atamfata ofsini amueleze.
Iko ndio nilitamani sana kusikia nini?je kililihusu taifa ama?na je mzee Magufuli wakati anaaga na mengineyo akumwambia chochote cha kitaifa Mstaafu Mabeyo...
Najaribu kuwaza yani hivi ni kweli:
TLS-Imekosoa mkataba kisa mwekezaji mwarabu ama waislam na rais muislam
Wapinzani-Wamekosoa mkataba kisa mwarabu ama waislamu na rais muislam
Wabobevu wa Kisheria-Wamekosoa kisa mwarabu ama waislamu na rais muislam
TEC- Wamekosoa kisa mwekezaji mwarabu ama...
Hivi hizo HGA baada ya IGA zinatua na msaada gani once tumeshindwana na kwenda kwenye kesi nje...Je itatazamwa hizo HGA ama IGA?kama ni IGA je hizi ngojera kua HGA itakua nzuri zina msaada gani, badala ya kukomaa ku solve IGA ndio iwe nzuri
Wanaoleta upuuzi wa Uchama, Udini, Ukabila katika mambo ya msingi ya nchi nashauri wapuuzwe tu. Yani mtu anakomaa na kamstari kamoja tena akitaka mifano ya kwengine akijua fika nchi zinatofautiana sheria, tamaduni,katiba etc. wakati kuna document nzima yenye mapungufu.
Kwa wenye interest ya kupiga pesa jisajili hapo:
Receive $10,000 in virtual funds and learn how to trade with a market leader https://one.exness-track.com/a/imk4cszitn?platform=mobile&pid=mobile_share
Wakuu sasa ni rasmi nime retire hii game, sababu kuu ya ku retire ni baada ya kupata business/ishu nyingine ya online inayonipa pesa kuzidi hii. Ndugu zangu Buddy wakusoma DeepPond Proffesor Kikinga and all nitawakumbuka sana katika haya mapambano. Niwatakie muendelezo mwema sana.
Asante sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.