Barabara karibia zote..KIWANGO HAKUNA..Barabara ya LAMI ina mitaro katikati,,,Ulishawahi kuona wapi..mfano kipande cha Chalinze mpaka Mlandizi..ni hatari kubwa....mashimo MAKUBWA MAKUBWA barabaran..na kila siku yanasababisha AJALI mbayambaya...Magufuli huyuhuyu yupo tuuu...ANAANGALI (kumbuka...
Ha ha haaa...sasa wamebakia na RASIMU lao MBADALA walilotaka kuliingiza kwa nguvu barazan..waliingize peke yao sasa tuone ka litapata UHALALI huku kwa wananchi
Kweli ipi sasa mkuu hapa...TUWACHOMOLEE WAYA kama leo wakat Lissu anawasilisha au??....but technic hizi ndo zinazidisha hasira mwa wananchi wengine...embu tupime tu ukweli huu...ka vp na iwe MBWAII tu
...Wametuzidi kwa hoja MUJAARAB Le Mutuz..na mie sasa naona fika kabisa kwamba TATU zinatakiwa..na huwezi KUWAZOMEA kwan wanakupa hamu ya kuendelea kuwasikiliza aisee...acha tu 3 zije..nimekukimbien na zenu 2 zisizo na kichwa wala miguu
Warioba hakuyatoa hewan hayo alokua anayasoma leo Le Mutuzzzz.....ajabu kabisa...katika Taasisi ambazo tulitegemea zingeushadidia muungano huu wa 2...walipoombwa kutoa mawazo yao..nao walitamani UTATU...soma vizuri walichopendekeza Baraza la Ofis ya Wazir Mkuu.....ni mule mule tu 3-0.....acheni...
Inashangaza sana...inaonekana wanachokihubiri huku nje sio WANACHOKITAKA...nimefurahi Warioba kasema wazi wazi walichopendekeza wao kwa Tume...walipokua wamemkalia kooni KIFICHO kumbe ndani yake karibia Taasisi zote zimekuja na kitu kile kile..cha 3-0 ha ha haaaa
Ajabu kabisa..katika maelezo ya Jaji Warioba..michango ya Taasisi nyeti nchi hii...ZIMEPENDEKEZA mfumo wa Serikali 3...ingawa sio wa moja kwa moja...Mfano...Ofis ya Wazir Mkuu imetaka kuwepo na Mawazir Wakuu 3...na Raisi Mmoja tu...manake hawa wawili...kila mmoja ata deal na mambo ya Upande...
Na wala hatuwashangai...si wanajua tulishasahau..na ni kawaida yetu kusahau..kwa sababu wanajua sie ni mambumbu...ni hivi huo utaratibu ulikuwepo zaman..na kila kukicha malalamiko yalikuepo...sumu yake ni tatu au moja kwishaa
.........Hiki CHAMA kinakufa aisee,,,,,CDM hawana haja ya kuogopa wala kujihisi WANYONGE,,hakika bidii zenu zinaonekana,,Hakuna MIKOA ilio migumu kubadilika kama hio mikoa ya PWANI,,,na isitoshe DAFTARI wanalo tumia ndio lile lile la ENZI zilee za MCHAKACHUO,,ina maana VOTERS wao wengi...
Ha ha haaa...hivi hata kama ina UKWELI wowote clip ile iso na mwanzo wala mwisho..muhusika mkuu (LWAKATARE)..akisema nilikua natengeneza MOVIE flan hivi..na ile ni sehem tu ya SCRIPT ya movie husika ....mtamfanya nn???,,,manake haonekan muhusika mwingine yeyote zaid ya yule dada (sijui muhudumu...
NGOWILE ,,,,,,Daah hakika NILIKOSA uhondo kwelikweli wa Q and A hio,,,manake maswali hayo ndio HASWAA yanatakiwa yajibiwe na watawala wetu,sio watufungashe tu kama KUKU kwenye ma BOKSI,,,
Hongera NIKO na ungefaa ukalie kile kiti cha MTANGAZAJI yule.
,,,,,,,,,Na waache ujinga,hivi Meli hii hapo chini muda woote huo wa UHAI wake ilikua na inafanya kazi zake NCHINI Malawi????,,,,,uelewa ni kitu muhimu sana,hivi boda la ZIWA lenye mawimbi makubwa kama haya si litakua kila siku linahama hama kila siku,nani atakubali kuwa na MPAKA unao hama hama...
,,,Sijasema kama CDM walikuwepo na we unajua fika HAWAKUWEMO kwenye huo msafara,,lakini sisi wanachi, bila kujali akina CCM au CDM katika hili tunahitaji kuongea sauti moja,,,,,ajabu KABISA katika watu tunaotegemea wangeficha udhaifu wa utetezi wa TZ katika ishu hii,,akina NITAKUPATEJE wao ndio...
,,,Inawezekana hata CDM ikafia hapa,kwani hawa wanaotoa mawazo ya KUASI nchi yangu akina NITAKUPATEJE si ajabu ni viongozi wa CDM,na kwa Mtanzania wa kawaida kabisa hawezi kuaminishwa kiurahisi kabisa kwamba nchi hii mpaka wake unaishia kwenye NCHA ya maji.Hivi Ndugu yangu NTAKUPATEJE...
Jamanai naomba kueleweshwa,hivi MKUU ametumia KIGEZO gani kumteua Mh. MWINYI kuwa waziri wa AFYA ilihali wizara hii si ya MUUNGANO na wala yeye si muwakilishi wa MWANERUMANGO tena,manake term iliopita alikuwa waziri wa wizara tajwa kwa kuwa alikua anawakilisha jimbo lililopo huku TANGANYIKA,sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.