yamkini muda haujafika bado,, wewe jipange kuwa na demu ambae ni wife material mtashauriana,, sio demu wa starehe na anasa kila siku pamba mpya.. hilo la kuwakimbia mademu sio tija coz hitaji liko palepale,, bado utataka kuwa nae mwili ukihitaji
kwakweli hapo umeingia choo cha watoto(pot) yaani ni dharau iliyo wazi kutembea na housegirl wako,,, sijui utaficha wapi hii aibu. na kama ujuavyo hakuna baya ulifanyalo gizani ambalo halitaonekana kwenye mwanga. mbona mkeo anakupenda sana afu wewe humthamini?
dah! jamani sijawahi kuwaza mimi eti hata kujinyima kula kisa kidume ,kwa mimi kila siku ni mpya hata kama ni 90yrs i strongly belive its not too late to start afresh!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.