Nipo hapa NMB Congo umeme umekatika nw hii dakika ya 5 umeme haujarud na tumezoea kuona Bank umeme ukikatika panakuwa na Generator la automatical ambalo sekunde 3 linakuwa limeshawaka lakin hapa hd mdaa huu hakijawaka kitu na huduma zimesimama......TUTAFIKA NA BANK ZETUUUU HZ....najiuliza...
China hasa hv baridi yake unavaa nguo zaid ya nne na makoti mawili...hy picha itakuwa Jux ana jua pswrd zake za instagram akaingia na kuweka hv ila ameenda wrong cz nw ni baridi kali km angekuwa yupo full na Nguo za baridi ingekuwa kwel watanzania waliojaa china wasimuoneee basi ni Jini
Liveee......hii hapa nipo kariakoo wafanyabiashara wotee wamegoma kufungua maduka yakoo leoo hii mdaa huu kosa machine za TRA na wametoa onyo kwa atakaefunguaaa......hakuna hata duka moja lilofungwaa...na nw TANESCO nao wamekata umeme waooo....Tanzaniaaa hiii
Hy ni mdogo wangu ambaye anaanza masomo ya Degree ktk chuo cha UHASIBU Dar Es Salaam...lilomkuta leo wakat akigomvania daladala maeneo ya kariakoo akaibiwa walet yake yenye vitambulisho vyote vya bank,chuo,mzanzibar mkaaz na pia number yale ya chuo aliyopewa juzi tuu na pesa kias cha laki...
Msaada........nina rafiki yangu ana kuwa ananisumbua jii ya hili ya kumwaga shahawa kidogo wakati wa ngono na hizo shahawa haziwi nyeupee....je ana matatizo gani au ni maumbileee tuu au hali vyakula vyenye kileta shahawa nying...majibu wataalam wa hili
Mtaki Milion 1 ,Frem unalipia kwa mwezi laki 4 hd 8...alafu kwa siku unauza laki 2 kwa mwaka utakuwa umepata faida km milioni 2 hv na hapo hapo unalazimishwa kununua kimachine chaooo......pumbavuu zaooo
Nakumbuka alikuja Zanzibar 1995 kipindi hiko nikiwa na miaka 5 nilimshika mkono ilikuwa airport wakati nikienda Oman nilikuwa na mama na dada yng...bt nikakaa miaka Oman hd 99 ndipo niliposikia amekufa nililia cnaaa cz aliniambia soma mwarabu mweusi......uje kuitetea Zanzibar na hd leo hii Mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.