Hataki zirasimishwe ila huyu huyu atalisifia Taifa la China na Maendeleo yake, kwenye Tiba zote mbili za Asili (Traditional Chinese Medicine - TCM) na Western Medicine, ambapo wamewekeza na kurasmisha kwenye Mataasisi yao Makubwa kama Muhimbili na zaidi ya Muhimbili, na hamna aibu, wala sura...
Huna taarifa sahihi za Steam inhalations, waulize hao Madaktari wako kwenye vitabu vya udaktari imeandikwa au haijaandikwa, waache unafiki wa kutosoma na kusubiri mapokeo ya Wazungu tuu, bila kujituma Kufanya Tafiti!
Bado wewe Bwana Said Nassor Bagaile, unapinga Tiba Asili, najiuliza ungekuwa Waziri, ungekuja na hizi arguments zako, ulitakiwa ujiongeze kuhusu Tiba Asili imekuwepo kwenye generations to generations, na kujifukiza kumesaidia wananchi wengi, tofauti na unavyopinga, maandiko ya kisayansi...
Nyungu tunayo huku Nzega Vijijini na sie wapiga nyungu ndio tuliomsaidia Said Nassor Bagaile a. K. a Hamis Andrea Kigwangala kupata ubunge, sasa anatusaliti, lazima ajambe cheche!
Usaliti upoo, Kigwa ni Kada wa CCM na Osati pia ni Kada, Kigwa ni mbunge wa Nzega kupitia CCM na Osati aligombea TMK kwa tiketi ya CCM kura za maoni, kula hazikutosha, wanaenda against Ilani ya CCM yenye kurasa 300 ambapo ukurasa wa 139 unazungumzia Tiba Asili, kuuimarisha na Kufanya Tafiti...
Ukisikia Yuda Eskarioti ndio huyu Mwanasiasa wa Nzega Hamis Andrea Kigwangala na huyu mtu anaitwa Elisha Osati. Wakiwa wamenunuliwa na Mtu anaishi Marekani na Mwingine anaishi Ubeligiji, ambao wamenunuliwa na Makampuni ya Dawa ya Hizo nchi. Kiujumla hawa wotee kigwa, Osati, Minja, mnywa CPZ...
Uchaguzi wa Dawa huwa unamhusu Daktari anayemtibu mgonjwa au mgonjwa mwenyewe kwa kiasi fulani, na uhusika wa Ndugu zake mgonjwa kwa kiasi fulani, kwahiyo kama hakukuwa na Kundi mojawapo hapo ku influence matumizi ya hio dawa, huenda wote hawa kuitumia, uliza waliowahi kuitumia utapata majibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.