Wakuu msiogope sap chamsingi ukifika sua we fanya wajibu wako,afu kwawale wenzangu wanaoichukia BAM basi naomba mjipange mapema kwani kuna kitu MTH 102 itawasumbua sana
Habari wakuu,computer yangu aina ya Hp Probook 6455b imeharibika chanzo ni adapter iliungua nikabadilisha baada ya ku2mia adapter ingine PC iligoma kupeleka moto nikajaribu kutoa betri bt soon baada ya kuswitch on tena moto niliona moshi tu na kusikia harufu kali ya kitu kilichoungua ndani,sasa...
Ushauri kama umepangwa SUA nakuomba sana mambo ya kitoto uache kabisa kwani ukileta uzembe tu unaliwa kichwa.Utoto unaishiaga Msamvu so jipangeni kupiga msuli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.