Ndugu yangu Nhigula nakuunga mkono kweli na Kama kutakuwa na gharama yoyote ya kufungua kesi hiyo ya kikatiba Mimi nipo radhi kuchangia gharama hiyo na wana Jamii forums wengi nahakika watakuunga mkono wa gharama za kesi au ushauri wa kisheria
Naugua sana kuona Bunge letu sisi wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.