Ivi wakuu Mwakyembe mbona anafanya saisa ya kitoto sana.kuzungumzia Richmond na kuacha kashfa nyingne ni utoto kabisa kisiasa.Najiuliza alikuwa wapi muda wote mbona hawa wanasiasa wa tz ni vigeugeu hivi.Mwakyembe mbona yako husemi.Jaman nakiri mimi ni ccm ila sipendi siasa kama hii ya kitoto...
Wakuu wanaosema cheo cha mkuu wa mkoa kifutwe ni wazi hawajasoma katiba vizuri.cheo cha mkuu wa mkoa kipo kikatiba lakinihakuna cheo cha mkuu wa wilaya kikatiba.
Nimekuelewa mkuu cha msingi ni kuifikiria Tanzania kwanza kabla ya madaraka na vyeo.naomba niongezee kuwa sio tu kuachwa kuongoza bali pia watakaochaguliwa na wananchi pia wakatekeleze wajibu wao kama walivyo ahidi na kuapa mbele za Mungu aliye juu.
Only time will tell.na kwa yeye aliye juu Muumba wa mbingu na nchi kweli yote itathibitika kwa neno lake muda na wakati utakapowadia.Atukuzwe Mungu aliye juu na mtoa afya kwa viumbe wake mimi ni nani hata kumnyooshea kidole kiumbe mwenzangu kwa afya yeke.eeh Mungu usinipe ulimi wa kuwasema watu...
Kwa historia ya nchi yetu CCM tangu enzi za hayati Nyerere chama tawala hakikuwahi kuwapenda watu kama akina Filikunjombe ambao wawakuwahi kuficha maovu ya serikali yao na kuivua nguo serikali hadharani.tunawakumbuka akina Sokoine,Kambona,Kolimba,Chifupa ambao walitofautiana na mitazamo ya...
Kama ungekuwa kiongozi wa serikali lazima utambue umuhimu wa kuthibitisha ukweli wa habari au taarifa fulani kwa umma kabla ya ku confirm.namaanisha kwamba tukio linaweza kuwa kweli au uwongo ila kukanusha ni kwa public interest mpaka itakapothibitika ndipo uikubali na kutoa ufafanuzi.Mf.taarifa...
Wakuu tukisema tuchambuane kwa kuhudhuria misiba hapa tutajikuta na sisi pia tunatenda dhambi kwa kutohudhuria baadhi ya misiba kwa sababu tofauti pengine zipo nje ya uwezo wetu.pia kwa sasa misiba ya wapendwa wetu ni mingi sasa hapa unaangalia uhitajika wako kwenye misiba hii na ukaribu...
Wakuu tuwe tunasoma na katiba angalau kidogo tusiishie tu kuangalia movie za hollyhood.ni kwamba ukomo wa kuwa waziri utakoma pale rais mteule atakapoapishwa na kuteuliwa waziri mwingine kukaimu madaraka hayo.hata kama bunge limevunjwa rais anaweza kumteua mtu aliyekuwa mbunge kuwa waziri...
sijaelewa hapo tafsiri ya diploma ya utawala in bracket ukasema human resource..kama ni utawala ni public administration na human resource ni rasilimali watu..embu weka maelezo ya kina zaidi wadau tujue tunakusaidiaje
Mkuu..Ejay...ina maana yani kosa lolote unafukuzwa..sass hiko chuo atabaki mtu kweli mna nijuavyo ni kuwa hakuna binadamu asiye kosea..labda utuambie makosa specific ambayo mtu akikutwa nayo yatapelekewa kuondolewa mafunzoni ni sio kosa lolote..usiwe too general kuwa specific kuwasaidia...
Kibajaji hana tofauti na Hadija Kopa...hivi ukiwa na mbunge kama huyu kwenye chama chako utajisikiaje zaidi ya kuona aibu..hii inapima hata IQ za wananchi wa jimbo lake..dah watz tubadilike hawa si wakurudi bungeni next time..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.