Ni ajabu sana katika nchi hii au kwangu mimi. Leo mtu akimkosoa Magufuli, anaonekana hafai na hapaswi kusikilizwa. Membe anashambuliwa sana badala ya kusikilizwa na kupingwa kwa hoja mbadala.
Nauliza, wapi mwanzao na mwisho wa ukosoaji?
Ninavyofahamu ni kwamba katika kukosoana ndipo hupatikana...
amesema mengi, kubwa ni kwamba ametuhumu sana kuwa uongozi wa chama chake cha zamani(chadema) umefanya maamuzi yasiyo sahihi.
je,kipindi hiki cha kampeni,chadema wanaulazima wa kumjibu dr slaa?
Siasa za mwaka huu ni kali, tena sana. Utamu na ukali wake umenogeshwa na mambo matatu hasa.moja ni jambo ambalo watanzania walikua wakisema sana kuwa vyama vya upinzani vikiungana ndipo vitaweza kuitoa ccm ikuli,hilo limetokea mwaka huu. Pili ni ile hali ambayo haikuzoeleka ya wana ccm wakubwa...
:A S-confused1:hivi huyo Juma amehamia lini CHADEMA?
Usiku ?
maana wenzake woote walikabidhiwa kadi mchana kweupeeeeeee! yeye alipewa lini hasa?
mwaka wa mazingaombwe huu
Na Timu ya Uwazi
TAKRIBANI siku 9 tangu kutokea kwa uporaji wa silaha na mauaji ya askari wanne na raia watatu katika Kituo cha Polisi Stakishari jijini Dar es Salaam, moshi mweupe wa ukweli umenza kufuka.
Gaston polisi aliyenusurika.
Uchunguzi na vyanzo mbalimbali vya habari wakiwemo...
AMENASWA--WALIOVAMIA STAKISHARI WATIWA MIKONONI,SILAHA NA MAMILIONI YAKUTWA YAMEFUKIWA CHINI HUKO MKURANGA
Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam SULEMAN KOVA akiwaonyesha wanahabari silaha bunduki 16 zilizokutwa zimefukiwa chini huko pwani mkuranga huku bunduki 14...
UKAWA ni wanafki tu,hawana lolote, inafikia wakati kwa sisi waelewa hatujui hasa ni wakati gani wanatetea wananchi.
Bunge lilipoleta hoja ya kuwalipa wabunge sh laki 2 kwa kila kikao, UKAWA walijifanya wao hawana njaa, wakajidai kususa posho eti ni nyingi sana ila kimyakimya wakaendelea...
HABARI KUBWA LEO,.KUMEKUCHA URAIS CCM, YALIYONENWA SASA WAZI WAZI,JAJI AGUSTINO AJITOSA ,MITETEMEKO KUNYWEA SOMA HAPO KUJUA
pichani ni Jaji Ramadhani akichukua fomuya Urais leo Mkoni Dodoma
akiongozana na Mkewe
HATIMAYE makundi hatari ndani ya chama cha Mapinduzi CCM...
kaka utaweza kumjibu kila mtu na kila uzushi? nafasi unayoiomba ni kubwa,na huo ukubwa una mengi. tafuta washauri wazuri kipindi hiki cha safari uliyoianzisha.
Watangaza nia ndani ya CCM bado wanamiminika,ni wengi labda kuliko siku za nyuma.Wanataka kuingia ofisi kuu,ikulu.Nimewasikiliza sana,na wengi wao ni wale ambao walikua au bado ni viongozi waandamizi huko serikalini,wanauwezo wa kumshauri rais ili atuboreshee maisha.
Wengi wao wananena ktk...
Mwigulu,umefanya vema kuthubutu kujitokeza,ila bado kidogo kwa nafasi unayoiomba.
TANZANIA INAHITAJI KIONGOZI MAKINI,ALIYEJULIKANA KWA MUDA MREFU NA KUONWA UWEZO WAKE KTK KUKABILI HALI HASI NA CHANYA.
BADO HATUJAKUPIMA,BADO HAUJAPITA KTK MOTO,BADO HATUJAKUJUA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.