jaman hizo figure ni za kweli hawajakosea hilo shirika linafilisiwa na makampuni binafsi yanayoiuzia umeme mbona kipindi cha nyuma hatujawahi kusikia TANESCO haina pesa kama hivi sasa Symbion, Agrekko, Songas wanaifilisi TANESCO, mafuta nao yanaifilisi TANESCO kila siku yananunuliwa. lakini...
Jamen hizo bilioni zinatumiwa na TANESCO ni sahihi hakuna kilichokosewa jamani shirika hili litumia fedha nyingi katika kununua mafuta, kuyalipa makampuni binafsi yanayoiuzia umeme, capacity charges yaani kwa sasa halina kitu linadaiwa hadi uvunguni. Na hivi sasa suppliers wao kibao wanawadai na...
Hivi jamani mlikuwa hamjui pesa ina nguvu kuliko kitu kingine. kwa kweli spika ametuabisha kweli sisi Watanzania hivi sisi Watanzania tunajua wabunge wanafanyabiashara na TANESCO na wengine walikuwa wanahongwa na wakubwa wa TANESCO ili waendelee kulitafuna shirika hili yaani kama mnabisha...
Hivi karibuni nilimsikia spika Anne Makinda akiwawataka wabunge waorodheshe mali zao katika tume ya maadili lakini wanaonekana kuwa wazito kufanya hivyo. Tunasema wafanye hivyo tuwaone kama wasafi wakati tunajua wengi wao wana kula rushwa hasa zile za kutetea hoja fulani fulani kama walivyofanya...
Vigogo wa tanesco wazidi kutapatapa sasa wakimbilia bungeni na wamwaga michuzi kwa wabunge hasa wale wa kamati ya nishati na madini na ile ya kina zitto. baadhi ya wabunge wapokea michuzi hiyo inadaiwa ni milioni tano kila mmoja pesa hizo zimewalewesha na kuamua kuita waziri muhongo katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.