Mwakani Wanafunzi wakifeli, wanaanza kuunda tume ili kuchunguza kwanini wanafunzi wanafeli, wakati walimu wanapewa mazingira magumu ya kazi kiasi hiki. Ajira zimetoka wapo waliomba kubadilishiwa vituo kwa sababu za msingi kabisa na wamekubaliwa. Tatizo ni nini wasilipwe pesa za kujikimu? Kila...
Kuvaa nguo za chama wakati mnafanya jambo la kitaifa, kama vile uzinduzi wa mradi fulani kwa ajili ya watanzania, hili ni jambo linaloashiria umoja kweli? Au ni kuashiria utengano? Mwalimu Nyerere alikuwa akifanya hivyo wakati wa shughuri za kitaifa? Na nchi za wenzetu je wanafanya hivyo wakati...
Mimi Binafsi sipo tayari kukubaliana na haya mawazo ya wasiojua shida zetu watanzania. Wengine hiyo ni hela ya kuweza kuajili baada ya mda fulani na isitoshe Wastani wa maisha ya mtanzania ni miaka 47, Je Miaka 55 hadi 60 itafikiwa na wangapi? Nipo tayari kuandamana hata leo na ikibidi kupigana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.