Mkuu ni katiba hiihii ya chama kimoja ndiyo tunayotumia zama hizi za vyama vingi, kumbuka kifungu kinasema "mtu" haijalishi anatoka chama gani anabaki kutafsiriwa kama "mtu"
KATIBA YETU
40.-(1) Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika
ibara hii, mtu yeyote ambaye ni Rais anaweza kuchaguliwa tena
kushika kiti hicho.
(2) Hakuna mtu atakayechaguliwa zaidi ya mara mbili kushika
kiti cha Rais.
RAIS wangu Jakaya Kikwete; azma yako ya kuliachia taifa katiba mpya ilikuwa njema, lakini mchakato ulipofika hivi sasa unaonesha kuwa upatikanaji wake umevunda na waswahili husema; la kuvunda halina ubani.
Huwahitaji wasomi sana kukushauri kuwa mchakato huu umeshindikana; akili ya kawaida tu...
Huu si msimamo wa dini bali ni dalili za watu waliokata tamaa ya maisha ndiyo maana wanatamani vita ije wafe kwa sababu hawana cha kupoteza katika maisha haya
Hatutafika mahali tupatakapo mpaka tutakapoacha ushabiki wa vyama na kuangalia kila jambo kwa jicho la tatu. Dhambi ni dhambi tu hata kama itafanywa na malaika
Tatizo tumekuwa tukiishi kwa akili za kuazima, kila tunachoambiwa au kuletewa na wazungu tuna-copy na ku-paste, hatutumii akili na uwezo wetu kuthibitisha ubora wa vitu tunavyoletewa.
Kuna Dokta mmoja aliwahi kunieleza kuwa dawa za mpango wa uzazi zina matatizo mengi kwenye mfumo wa uzazi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.