Madam Spika "TUNAONA"
Am troubled kila Mara ninapomsikia mama wa mjengoni akisimama kwa kuwasema Wabunge, mara kwa mara kwamba Wananchi wanawaona, na wanaona kila kinachoendelea hapa, am not sure kama anajua kuwa Wananchi hao hao wanaona baadhi ya maamuzi ya kibabe yanayotoka katika kiti chake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.