Wadada usithubutu kukutana na mwanaume ambaye mmeanza Naye mahusiano , at least chukua muda wa miezi zaidi ya mitatu au minne umsome kwanza kama Yuko serious au mpitaji
Yaani nimegundua ukiachana na mwanaume ambae hukuwah kukutana Naye kimwili, hutapata maumivu kama ambavyo uachane na mwanaume...
Walio kama ww katika mia wawili labda maana mm x wangu jaman alikuwa hatoi pesa yoyote asipoonbwa yaan sitakuja msahau maisha yangu yote, alikuwa mbinafsi Sana, sijuwah muomba peaa jamanii but siku moja nikapata shida , ikabid nimuonbe yy jibu lake ni Sina mara zote,,.sijui kama atakuja dumu...
Mwenye uelewa na ndoto ifuatayo naomba anijuze:
Nikuwa nikiota kwamba Mimi ni mwalimu na katika ndoto nimekuwa nikisimamia wanafunzi wanafanya mtihani wa hesabu, ndoto hii jimeiita Mara nne mfulilizo , na kiuhalisia Mimi si mwalimu,na Wala sitegemei kuwa mwalimu.
Kinachonoshangaza ni Kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.