Namuunga mkono thinkpad 100% Ukiangalia kwa umakini ni hivi Zantel 10GB ni Tsh 270,000/= yaani hiyo ni 27sh kwa 1MB
alafu speed ni kubwa kuliko ya mitandao yoote iliyo TZ yaani vodacom, TTCL, Sasatel, Zain, tiGO, Tritel, BOL hili halina ubishi.
Kingine kuhusu 3G kuwa expensive duniani...
aaah hili sio jibu hauna point ndio maana umeleta brah brah Uwe unaandika kitu kama unazo supportive data au docs una sasa unashindwa kaswali kadogo huyooooo shame on you!!! aibu mtu mzima huyooo
Labda usubiri mwaka 2020 au 2030 nadhani hapo Tanzania Map with some street and region zitakuwa digitalized .
Lakini kwa sasa sidhani,Siamini hata wazo hilo lipo kwenye tume ya sayansi na technology.
Mnakumbuka zile ndege zetu za zamani nadhani ilikuwa ni Kirimanjaro na Serengeti nakumbuka kitu kama hicho,
nasikia iliuzwa mojawapo ndio wakanunua hivyo sijui ni hicho kindege kibovu CASH wakati ndege huwa hazinunuliwi CASH ile ndege iliyohuzwa na mafisadi mpaka leo inapiga kazi nchi za nje...
Nina jamaa yangu mmoja anafanya kazi Vodacom yeye ndio aliyenishauri nitumie Zantel hilo halina ubishi kama hauamini nunua CDMA modem yao kisha unganisha computer idadi minumum 25 zote ziwe active download and upload hapo ndio utagundua nini hawa jamaa wanafanya wako vizuri sana
NB...
Hakuana haja ya kubadilisha ilo gari litakuwa baya sana,
Rangi original imepigwa na mjapani sasa nyinyi mmeona haifai haya nendeni kwa wachina mtaniambia kama kagari hakajaja na manundu nundu kwenye body zima.
Kama mkeo ana hekima ya kukuelewa mueleweshe lkn kama ni kimeo(mtata , Asikii la...
Mimi binafsi nimekosa muongozo maana humu mimi ni mgeni, Yani nimesoma haya maelezo humu mpaka nahisi kudata maana sielewi naona manyota-nyota,
Nipeni muongozo jamani hii hali ni mbaya sio nzuri kabisa.
Haya ni matokeo ya kile tulicho Panda wengine wanazidi kusonga mbele sisi tunarudi nyuma,
Na hii Govn ya JK inatuandaa kuwa watumwa wa EAC kama hamuamini ngoja mtaniambia.
Watoto wetu wameeandaliwa kuwa watu kuanzia Darasa la kwanza mpaka chuo,
Mfano kama elimu sasa hivi ya shule ya...
Created the world's largest and most valuable personal computer company; (Michael Dell, Dell Computers)
Co-founded the world's most successful search engine; (Sergy Brin, Google)
Head the world's largest software company; (Steve Ballmer, Microsoft)
Co-founded and head the world's second...
U can think about the world today. Look at who most blesses the Jews and who most curses them, and you decide whether the verse in Genesis has validity.
It is the United States that has, since its inception, most blessed the Jews and that does so almost alone today – in its support of...
What about this?
Hapa inakuwaje mpaka mafuriko yanaingia............... humo ndani hapa mnatuambia nini sasa.
haya hapa mbona mbona hakuzuia haya maji eeeeh sindio mkisali huwa mnaelekea hapo ambapo ni mahali patakatifu kwenu?
Wewe inakuuma nini watu kama madhara walisha pata raha gani watu waliyo nayo hili la DECI ndio umeona , Je madawa feki tunayoletewa na watendaji wa serikali wanaruhusu yapite hauoni ila DECI ndio umeona au umetumwa.
Ruhusu Ubongo wako ufikilie kwanini mpaka sasa tren ni mbovu na haifahi hata...
Huu nauita upeo mdogo wa kufikiri, hao DECI ninani alisha walalamikia?
Tatizo wabongo mnapenda kukurupuka wanachama wenyewe hawasemi pesa zao ,Unakuta jimtu linatokwa na povu DECI ,DECI sasa nyinyi imewafanya nini pesa hiyo ni yako?
Unawashwanini muwe mnajitizama, Pesa ya EPA mbona imeliwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.