da nashukuru sana mansakankanmusa kwa msaada ulio nipa nashukuru sana kwa sasa naweza kutumia internet kwa maelekezo ulio nipa imekubali kufunguka thanks
Yaani nilifungua computer yangu kwa ajili ya kufungua internate ikaniandikia (local area connection) this connection has limited or no connectivity . You might not be able to access the internate or some network resources. Alafu ikaniambia for more information , click this massage. Alafu nika...
Nimefungua internet katika simu ya kichina lakini inakataa inaandika secure sijui nifanyeje jamani naimbeni msaada wenu wa kufungua simu ya kichina internet natumia laini ya tigo na ya voda
Jamani naomba msaada wa kuunga nisha computer yangu na simu aina ya nokia 6300, yaani niingize bando katika sim yangu alafu nitumie katika computer kwa ajili ya internate nitafanyaje jamani
Naombeni msaada wa kuunganisha simu yangu na computer, sim yangu ni nokia 6300.nataka kutumia kwa ajiri ya kutumia internate, yaani naingiza bando katika simu na kuweza kuunga nisha kwenye computer, kwahiyo nitafanyaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.