Ni mbali kidogo na kale kamto. kama ni mwenyeji wa maeneo hayo unapotoka ubungo darajani (kituo cha mwenge). ukiwa unaelekea ubungo shule ya msingi, nyumba ipo pale unapomaliza ukuta wa stend ya mkoa upande wa kushoto. kwa hiyo kuna kaumbali kidogo kufikia kwenye mto unaouhofia....
Nyumba ipo ndani ya geti ina vyumba vya kulala viwili, kimoja kati ya hivi ni master, sebule, jiko na choo cha jumuiya. Bei yake ni Tsh. 250,000/= kwa mwezi. Mpangaji anatakiwa kulipa kodi ya mwaka mmoja kabla ya kuhamia. kwa mawasiliano piga 0714480522 au 0752525730.
Mtoa taarifa alinidokeza kuna kazi inayohusiana na "field" yangu (IT), sijajua kama wametangaza na "field" zingine. Laba kama kuna mtu ana taarifa zaidi atujuze.
Kuna mtu amenipa taarifa kuna nafasi za kazi zimetangazwa Rural Energy Agency (REA) hivi karibuni. kwa bahati mbaya hakumbuki hata gazeti ni la lini. nimejaribu kuangalia kwenye "website" ya REA kwa bahati mbaya pia hakuna taarifa zozote za kazi. Naomba msaada kwa yeyote mwenye taarifa kuhusiana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.