inashangaza...am so baffled with two issues, firstly this article was written in weekly newspaper(raia mwema) by one Tanzanian currently living in Scotland...i think it was published last month....the one who brought it here(even if He is the one who wrote before) should have acknowledged the...
kwanini siku walikuwa hawasemi ukweli ? inashangaza sana( haiwezekani mpaka ukawa wa kishenzi namna hii...yaani wale wanaoishi ufukweni wayatazame tu maji kama vile hawajui matumizi yake...waingereza feki sana...)
huyu chief Mhaiki alikuwa fit sana kuargue, check sehemu hii ya huyu chifu
"...
judith kushaba,hasheem, magindu et al ...nk..nk..( dugu moja au mutu moja hiyo...joining forms walichukua wote 30th July,2012)
join date ...one day before monthly speech...safi sana
hata hayo mazuri machache unayoyasema,zito aliyafanya sio kwa nia ya dhati ya kupigania maslahi ya taifa...zito ni mtu wa siasa za maslahi yake binafsi..akichukua hoja kama yaa buzwagi ni kwa ajili ya sifa zake tu ...waliosoma naye mlimani watakumbuka wakati alipokuwa katibu daruso( rais akiwa...
huyu tamu chungu na thatha wana kazi maalumu humu,someone who bother to to reply or discuss with them,it is futile work ...it cant be a pure coincidence their remarks are similar and join dates are similar one day before speech ya mwisho wa mwezi( join date 30th july,2012)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.