Anashabikia sana vita huyu MEMBE! vita ikianza,asibaki ofisini tunamuhitaji front line.(mala eti Malawi tutaipiga siku moja, mala M23 tutawasambaratisha masaa machache ! viatu vya uwaziri wa mambo ya nje vinampwaya! hana lolote.
Ni siku nne tangia mwanafunzi chuo cha uhasibu Arusha auawe! Vyombo vya usalama na serikali vimeweka nguvu zote katika ukamataji wa mbuge LEMA. Hakuna taarifa zozote za kusakwa na kukamatwa kwa muuaji.
Je hii inaashiria nini?
Au wanatwambia kuwa aliye kamatwa ndiye muuaji? Lema alikamatwa...
Tangia mwezi wa january mwaka huu, mjengwa blog imekuwa na mtazamo hasi dhidi ya mustakabari wa taifa hili.Hata kama magamba yakifanya kitu kibaya yeye anakipamba tu! yaani imekuwa blog ya ziara za CCM na viongozi wake. Si ajabu kweli ni gaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.