Search results

  1. C

    Kwa uandishi huu kuna kila sababu ukaguzi wa vyeti kuhamia sekta binafsi

    Hiyo ni kawaida hata magazeti ya kwao yanaandika hivyo sana. Jaribuni kucheck. Hata yeye mwenyewe anaona sifa. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. C

    Show ya MwanaFA ilihujumiwa kwa makusudi.

    Mwana FA Acha kutumika.clouds hawana kitu wammfanyia jide visa bado tuzo kachukua sasa wameona watafute zeze na wanaona wwamekupata... hao ni wase ... maana wewe na jide mana mashabiki loyal sana na shoo yako ingependeza NA kujaa lakini mmchawi Wako kakupeleka pabaya. Clouds mharo tu.
  3. C

    What went wrong at Clouds Media?

    Hakuba ubishi kuja clouds in watangazaji wazuri. Lakini lazima wasome alama za nyakati. Kama wanadhani enzi Zile ndo izi wamepotea njia. Check jide alivyowaaibisha sasa ivi wanamtumie. Mwana FA kuwagawa mashabiki wa bongo flaviana. Wake up mwana fa clouds wanakutumia tuuuuuuuu
  4. C

    Nauli yangu toka Texas kuja nyumbani lounge imetumika sawia kabisa

    Dada umesimama Bali ulitoka huko uko umeonyeasha unaweza na hakuna mpinzani wajaribu kukugusa tena waone kama wabongo hawatawachinjia baharini
  5. C

    Unafiki wa JIDE na MWANA FA kwenye misiba,wa ngwear waliahirisha shoo wa LANGA wamepiga shoo.

    Mbona hamsemi kuhusu vyombo vya habari vilivyyohairisha program zao NA kuonyesha misiba ya wengine siku nzima. We una bifu NA jide na mamwanafa unatafuta wa kukuunga mkono katafute pengine... useless character
  6. C

    Hatari: Katibu Mwenezi CHADEMA Handeni Atishiwa Kuuawa

    acheni kutuboa na upuuzi wenu wa siasa.
  7. C

    Picha za Matukio Mbalimbali ya Ajali ya MV Skagit katika Bandari ya Malindi Zanzibar Leo

    Mungu tunawaombea wote waliohusika na hilo janga kwa namna moja au nyingine uwape nguvu na uwabariki katika kipindi hiki kigumu
  8. C

    Siri za Serikali "like desolve like"

    kwa nini sisi watanzania tunapenda kua papet wa wanasiasa leo wanasema hichi tunasikiliza kesho wanasema hichi tunasikiliza, mwisho wa siku chuki zao na matatizo yao yanakua yanajileta kwetu yanatutengenezea chuki kati yetu sisi na mwisho wa siku sisi ndo tunakua tukikumbwa na matatizo. jipende...
Back
Top Bottom