Frank usidanganye uma Alpha na Omega sio Jina la Mungu Alpha ni alphabet ya kwanza na Omega ni alphabet ya mwisho katika lugha ya Kiyunani (Greek)
A na O ni mwanzo na mwisho
Nilikuwepo live mkutano uliisha salama kabisa. na watu walikuwa wameanza kuondoka kwa amani. ghafla kikasikika kishindo cha mlipuko kwa hali ilivyokuwa ilikuwa ngumu kuchukua picha . ombeni jamani
kazi ipo hii kama kweli bac tunakoenda ni kubaya. Dat why baadhi ya watu walikuwa wanatabiri kifo cha cdm, kumbe sio utabari ni hujuma, kweli mungu na waungwana shetani na wahuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.