:spy::spy:Kwa kweli spika wa tanzania amezidi kudakiadakia wakati wabunge wanatoa michango yao haoni kama ana jishushia heshima? Hana washauri wa kumweleza wadhifa huo ni mkubwa na unahitaji mtu mwenye kifua na mvumilivu. Pia ajue anaongoza watu na heshima zao awakosoe kwa makini na kama...
Bunge la tanzania sasa lashangaza hata majanga mnaingiza siasa, je tutafika? Kuna haja ya kuwapima akili zao ili tubaki na wabunge wenye akili timamu tumechoshwa na vituko vyenu .je waungwana munalionaje hilo ? watu wamekufa kwenye ajali wao wanaanza marumbano mimi ninamashaka na akili zao wewe...
Nchi yetu tuna viongozi au tuna uchafu wa viongozi? Mauaji ya ushabiki wa kisiasa yataendelea mpaka lini? wananchi tuchague kiongozi gani atakaye leta ukombozi kwa watanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.