1. Tunahitaji tupatiwe huduma muhimu kama barabara ziweze kuwekwa kwa kiwango cha lami vijijini kote,kwani mazao yetu na mifugo yetu tuisafirishe bila matatizo
Hapa ieleweke kwamba lami ni muhimu kwani hudumu muda mrefu hivyo kutupunguzia stress za matengenezo ya mara kwa mara.
2. Maji ni...
Ok ,Is Win9X "sawa na" winXP?
If yes and true, thats why my pc(laptop) is too slow(has got 1GB).Is any one know how can I do so as to reduce the size of RAM from 1GB to 512Mb to make it work fast??
From my knowledge I thought it is possible to change PC RAM and not (laptop)
Sasa hii ni ngoma nzito,tunakoelekea sio kuzuri hata kidogo.
Kwa hiyo kwa mtazamo wanngu wa haraka haraka kutokana na ujumbe huu kutoka Canada kuna uhusiano wowote kati ya ujio wa Bush na kuuzwa kwa sekta yetu ya utalii nini!!!
Kwa sababu moja ya mambo anayokuja kufanya GB ni kuona "uzuri na...
Kumbe bado yuko naye na hajamuacha !!
Sasa kama kweli anakupenda wewe compared to her kwa nini hamuachi???
Au kwa sababu wote ni waislamu nawe una chance ya kuwa mke wa pili kwa imani ya kidini ndio maana anataka murudiane.
Pamoja na yote aliyokufanyia kwa kipindi chote hicho hata akaoa...
mpaka mupime kwanza,mukishajuana afya zenu na kuona zinafanana munaweza kufanya mapenzi tena huku mukisubiri harusi yenu.
kwani kama tunavyojua harusi inahitaji fedha na kujiandaa.
Kama rafiki yako ni mwislam njia ni nyeupe kabisa kukuoa tena wewe kwani wenzetu kwa imani yao kuoa na...
Mhhhhhhhhhhhh
mawasiliano ni kitu muhmu sana kwa kila binadamu,
Hili swala la kutokujuliana hali wakati kila mmoja yuko mbali na upeo wa macho ya mwenzie ndio kikwazo na sumu ya mapenzi.
Do you really love him? i mean from your heart?
If yes, we all human beings sometimes do mistakes.Give him another chance.
I think he got married because you where far away from him and poor communication.
as long as he knew he was not fair for you and apologise for you forgive him.
Forget...
MzalendoHalisi
Ngoja tuone Mama Simba hapo alipowekwa kwani huyu mama nasikia kabla hajajiunga na siasa alikuwa polisi mwenye cheo cha juu tu.
Na utendaji wake kikazi ulikuwa mzuri
Idimi,
kwa mfano mimi nina sifa zote hzo ulizozitaja,
Na kizuri zaidi nilikuwa natafuta rafiki wa kiume kwa muda mrefu tu,lakini kwa ajili ya uafrika asilia naona aibu kumuanza mwanaume kumuomba urafiki thanks umeanza.
Pungufu langu ni moja tu umri wangu mie ni miaka 30 na miezi sita.
kabla...
Msola na Chenge wamerudishwa sababu ya kutopoteza ushahidi wa ripoti za mkataba inayofuata kujadiliwa ikiwemo ya BOT,watajiondoa wenyewe tu.JK anajua yote hayo yanayoendelea.
Ngoja tusubiri....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.