Mi nadhani kambau na basias wote wameguswa km mtu yoyote kufiwa na mtu wa karibu,poleni sana.Ila wote wamepost taarifa zisizo kamilifu kuweza kusema moja kwa moja kilichopelekea vifo vya wapendwa wao ni uzembe wa madaktari na manesi.
kupasua kibofu cha mojo wakati wa Caesarian section is an...
Mi nadhani kuna tatizo Ktk mahusiano yenu huyo mdada bado kuna kitu hajakikubali na hataki kuweka wazi...but time will tell,be patient and everything will be in place in no time....Kama Una mashaka Hakika kuna jambo na siyo hivi hivi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.