Search results

  1. Omulangi

    Mkutano wa Mazingira Dubai- COP28: Rais Samia Kuongoza Ujumbe wa Tanzania

    https://edition.cnn.com/2023/11/22/climate/uae-cop28-adnoc-fossil-fuels-expansion-climate-intl/index.html
  2. Omulangi

    Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

    Mimi swali langu ni kama mkataba ni mzuri hivyo mbona bandari za Zanzibar hazimo. Charity should begins at home.
  3. Omulangi

    Fact Check: Wakati tunapata uhuru hazikuwepo shule binafsi? Aliyeandika na kupitia hotuba ya Rais awajibishwe

    Shule za taasisi za dini zilikuwepo nyingi na ndio zilitaifishwa 1967
  4. Omulangi

    #COVID19 Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?

    Mimi nafikiri sayansi ni mabishano ya hoja ktk kutafuta ukweli. Sasa mtu akija na hoja za kupotosha ajibiwe kisayansi. Apewe hayo matokeo ya utafiti yanayoharalisha mawazo yako
  5. Omulangi

    Waziri Ummy: Kigezo kikubwa ambacho tutakitumia kuajiri walimu ni wale wanaojitolea. Alalamikia barua feki

    Mi nadhani wa kusema ukweli kabisa ni kamati za shule ndiyo huwa zinahangaika kuwatunza.
  6. Omulangi

    Rais Magufuli: Sitegemei kutangaza hata siku moja kwamba tunajifungia ndani (Covid19), tutaendelea kuchukua tahadhari zingine za kiafya. Akemea Chanjo

    There are many questions science has yet to answer. 1. How do you synchronize and justify the the role of big business companies who own big shares in Whuan lab where the virus broke out and the same time have big shares in pharmaceutical co which make the vaccines? 2. How do you entrust the...
  7. Omulangi

    Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

    Tatizo Ni kubwa sana kuliko inavyolipotiwa. Hilo Ni janga!
  8. Omulangi

    Bundi aingia ndani ya ukumbi wa Bunge leo asubuhi

    We ndio sasa unataka kuwatisha watu zaidi ya kuwafariji. Unataka kumaanisha kuwa tayari ameletwa hapo mjengoni na harufu ya kifo? Ni nani humo bungeni aliyekwisha kuwa na dead cells? Ili ikiwezekana awahishwe India??!!
  9. Omulangi

    Aliyedai kuwa mtoto wa Lowassa akamatwa na Polisi. Ni baada ya kuomba radhi

    Mbona ninachosikia kwenye video ni kuomba radhi kwa jinsi jambo lilivyo turn out kisiasa na kudhalilisha. Yeye anasema alienda kuomba msaada maana muda mrefu alikuwa akifuatilia. Hivyo hakusema alikuwa anadanganya. Ila anaona jambo lilivyosambazwa mitandaoni na kuzagaa inamkosesha amani. Sasa...
  10. Omulangi

    Serikali yawarejesha kazini watumishi 1,370 walioondolewa kwenye ajira kwa kukosa sifa ya elimu ya kidato cha nne

    Samahani nilikuwa sijafuatilia issue hii. Naomba kueleweshwa kwa nini walikuwa wameondolewa kazini in the first place? Ni nani aliyefanya uamuzi huo? Ikiwa ulikuwa uamuzi wa kizembe ulioleta disturbance na kuigharimu serkali basi Mhe: Rais amwajibishe mhusika.
  11. Omulangi

    Mkesha wa Mwaka mpya: Maelfu wajitokeza kumuombea Rais na Tanzania kwa ujumla

    Maombi yanamgusa Mungu hutanguliwa na toba ya kweli. 2 NYAKATI 7:14 *[[2Ch 7:14]] KJV* If my people, which are called by my name, shall humble themselves, and pray, and seek my face, and turn from their wicked ways; then will I hear from heaven, and will forgive their sin, and will heal their...
  12. Omulangi

    Zimbabwe: Kamati Kuu ya Chama cha ZANU-PF imemvua Uenyekiti wa Chama Rais Mugabe, Grace Mugabe avuliwa Uanachama

    Nani alikufundisha hadithi yako na Hadithi hii inatufundisha nini?
  13. Omulangi

    Faida tutagawana nusu kwa nusu: Mtego ni kuwa hata hasara tutalazimika kugawana nusu kwa nusu!

    Unajua hawa wajanja multi national companies wanapiga mahesabu na ku negotiate wakiwa na view ya mbali sana. Je hiyo migodi bado ina dhahabu kiasi gani? Je wanaweza kuuza shares zao bado na hata kubadili kampuni? Je uendeshaji utakuwa monitored na managed vzr ili wasihujumu migodi au uzalishaji...
  14. Omulangi

    Peter Kibatala: Tuko tayari kwa safari bila kujali nini kimemtokea rafiki yetu,Rais wetu, katika mapambano

    The killers who aimed Lisa intended to kill the driver also. Now that Lisa survived and the driver who might have seen them, for sure they have panicked. That is why if care isn't taken they might silence the driver.
  15. Omulangi

    Uraia wa waTutsi !

    Ninalijiuliza mara baada ya kifo cha Habyarimana RPF walikamata Kigali. Machafuko ya intetahamwe Kigali yalidumu muda mfupi lakini watu waliendelea kufa na kutiririshwa ktk mto Kagera. Nani aliendelea kuua watu baada ya RPF kushika nchi?
  16. Omulangi

    Hivi ndivyo risasi nane zilizotolewa mwilini mwa Lissu nchini Kenya, nje ya 5 zilizotolewa pale Dodoma

    We mhe Spike akikusikia utapelekwa mbele yake chini ya ulinzi!!!
  17. Omulangi

    Kwanini Dereva wa Lissu akimbizwe Nairobi?

    Hivi wauaji wa Chacha Wangwe serkali yenye dhamana ya ulinzi wa raia ilishindwa kuwapata wauaji? Mbona hapa jamvini baadhi ya wachangiaji wanaonekana kuwajua vyema. Si hao ndio wangeisaidia polisi ili haki itendeke? Au vyombo vya Dola viliamua kupotezea? Na hapo iitakuwa sahihi wakati damu ya...
Back
Top Bottom