Wamepanga sana nani awe mrithi. Ila kila zama hakuna liyefanikiwa kutinga ikulu. Mwinyi aliingia ndivyo sivyo, akaletwa Mkapa kwa Mbeleko ya Nyerere, Sumaye hakuamini JK alivyoingia, Magufuli kikawa kama kifurushi kutoka juu, Samia wakajiuliza kumbe katiba ina tobo kubwa kiasi hiki? Tujiandae!
Usiendeshwe na mihemuko ya kingino. Wanawake wengi wazuri hawakuwahi kuolewa. Uzuri wa ngozi sio uzuri na utamu wa nyama, wala upole wa mnyama husika. Tulia tafuta mwanamke mwenye nidhamu, heshima na busara, utaishi maisha marefu. Zaidi utajenga uchumi wako na kuchangia uchumi wa taifa.
Upuuzi kutoka kwa mfaodika wa upuuzi. Wamarekani wanaamini ubepari achilia mbali uliberali. Ujamaa ulifanikiwa wapi? Wachina wenyewe uliwashinda. Rubish at its scale
Uamuzi wa kumuondoa mwl mkuu kwenye nafasi yake ulikuwa uamuzi wa kijinga na kipumbavu. Hivi ungemuuliza huyo Mkenda, wale watoto walivyokuwa wanacheza kwa miondoko ile, walifundishwa siku hiyo? Utandawazi ndivyo ulivyo na hauna nafasi kumsubiri mpumbavu mmoja hadi akae sawa.
Mwl arudishwe...
Pamoja na uwakili wako wa shetani, asante sana kwa andiko ha hoja nzuri. Mitizamo kama hii ni muhimu kwa maendelea ya taifa letu. Teknolojia hii ya kuzalisha umeme binafsi na kuingiza kwenye gridi imetumika ktk mataifa yaliyoendelea, mfano Ubelgiji. Huu ni utatuzi mkubwa sana kufidia kuliwango...
Sawasawa, Kenya watajenga reli na kupewa hisa nyingi kwenye bandari ya Mombasa. Upande wenu mlivyowakabidhi bandari zote, yadi zote na njia za usafiri wanawapa nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.