Huyu Catherine magige amekuwa tishio kubwa kwa watu hadi kuanza kumchafua kiasi hiki wakati hata mwaka 2015 haujafika. Tuache fitina za kijinga kiasi hiki na tufanye mambo ya msingi. Mbona huyu dada ni mzuri tu na amekuwa akijitahidi hata kuzungumza na kuchangia hoja kwa njia za maandishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.