Hivi tujiulize ni Binge tu linaweza kubakiza pesa za OC? Wizara, Idara na vitengo vyote vya Serekali wanashidwaje kubakiza pesa za OC?Kwa maoni yangu Rais yuko sahihi haiwezekani miaka yote wizara zitumie mpaka senti ya mwisho.Tatizo ni upigaji deals.Bunge limefanya miujiza gani ambayo wizara...
Viongozi msisahau pia Moshi ilichelewa sana kuwa manispaa.Sababu kubwa ni hcho kigezo cha idadi ya watu.Moshi watu wengi huja kazini asbuhi na kurudi majumbani Hai,Moshi vijijini na Hata Arusha na Rombo.Sensa zetu hufanyika J2 hhivyo wafanyakazi wengi wanakuwa majumbani ndiyo maana Moshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.