tatizo la nchi yetu hata serikali haithamini taarifa zenye kuleta mgawanyiko.kwa nafasi aliyonayo raisi wa nchi katika hili ilibidi ajibu neno.maana dr mengi ni msaada mkubwa sana kwa watanzania pia hivyo mambo kama haya huleta shida hapo badae.
Nimeona nchukue fulsa hii kuzungumzia uchaguzi wa baraza la vijana chadema taifa.Kiukweli nimeshangazwa sana na nilio yasikia na kuyaona kwenye social network.Watu kutumia fulsa hii ya kampeni kuchafua wenzao kuwaita wafuasi wa mtu fulani na hali si kweli.Hii kitu imeumiza wengi hasa wenye nia...
Raia wa Arusha shirikianeni na serikali kudhabiti matukio haya yasije leta maafa makubwa zaidi,,maana ugaidi ni mwingi Kenya isije kuwa ni moja ya milolongo ya matukio ya kigaidi nchini kwetu.
Mimi binafsi sijaona alichoongea cha msingi...kama huu muungano na halali basi na sisi turuhusiwe kununua ardhi visiwani mbona upepo wa bahari tunaupenda pia?
Kuna Watu humu ni wale wabunifu wa mambo ya kidaku Kama momma nimemsikia akizungumzia swala la dada Linda Bezuihout Yule dada ni Mtanzania mwenzetu tena Ana haki zote za kuwa chama chochote cha siasa tena kidemokrasia kabisa,ila wanaplopaganda wa chama tawala hawapendi kuona Watanzania wanna...
kumbe nyie ndo mnaochafua majina ya wanaharakati kwa manufaa yenu kisiasa mungu atawalaani.yule dada ana kipi kibaya alichokifanya ? Kama sio udaku wenu.
Mpaka kufikia sasa hali haina garantee kwani polisi wanalanda mitaani,kuwatisha raia lakina kiina cha yote ni selikari kutokuwa makini,jana raia waliingiwa na hasira na kwenda kuvunja nyumba ya mgombea huyo wa ccm ,na machafuko yamedumu kanzia saa saba mchana hadi saa tatu usiku,hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.