Search results

  1. Philipo Kidwanga

    Raia huyu anamwambia nini askari????

    tukibaki mtumbili ntakuchomeka hiki kidole.
  2. Philipo Kidwanga

    Mambo ya tennis hayo

    bado kujiphotoshop wenyewe tu maana bado kuanza kujiuliza wao ni wa kike au wa kiume.
  3. Philipo Kidwanga

    AAmIR KhaN AKIELEKEA HIJJA!

    nashukuru kwa jibu maana nilikuwa sijui hiyo,ila mimi milihisi kama yeye amefanya kama tabia ya wasanii ilivyo.
  4. Philipo Kidwanga

    AAmIR KhaN AKIELEKEA HIJJA!

    sasa analeta ubishoo hata kwenye ibada mbona kifua wazi?
  5. Philipo Kidwanga

    AAmIR KhaN AKIELEKEA HIJJA!

    sasa analeta ubishoo hata kwenye ibada mbona kifua wazi?
  6. Philipo Kidwanga

    Ingekuwa ni wewe ungefanya nini?

    namwambia haloo kaka chui wala sio mimi niliyekuchokoza ni swala huyo shikamoo lakini napiga mswaki mara moja.
  7. Philipo Kidwanga

    Spacious and neat house to let

    hii nafikiri ni appandiment na sio apartment.
  8. Philipo Kidwanga

    Masaa 26 vinginevyo...!

    mtishieni dhaifu na sio tanzania pambaf.
  9. Philipo Kidwanga

    Mapishi ya Kijeshi.....

    kikawaida boflo hutoa picha na bonus nafikiri ni bonus hii.
  10. Philipo Kidwanga

    Kwa SAFARI tu????????

    mtoto aweza kuwa kitu cha ajabu.
  11. Philipo Kidwanga

    vi-imani vya kujing'ata,chafya,nk

    wewe uko balanced wengine ni kama wehu kwa hizi imani za kitumwa.
  12. Philipo Kidwanga

    Teh teh teh,atimae VODACOM wameufyata mkia kwa YANGA!

    jina langu si unaliona hapo,mimi ni shabiki wa simba.
  13. Philipo Kidwanga

    Picha: Huyu ndiye farid wa uamsho

    kaka hilo jina unaloliona hapo juu ni jina langu halisi mimi ni mpogoro wa mahenge ninatoka kwenye familia yenye ujazo wa mapadri wa kutoha kabisa,lengo langu ni kuleta mizania ya haya matukio lakini umeingia kichwa kichwa na kuniunganisha na waislam ambao sihusiki nao kabisa ila kama mtz lazima...
  14. Philipo Kidwanga

    vi-imani vya kujing'ata,chafya,nk

    vitu vingine ni sahihi sema mkishaokoka mnageuza kila kitu ni uchawi.
  15. Philipo Kidwanga

    Teh teh teh,atimae VODACOM wameufyata mkia kwa YANGA!

    mpira hawajui wanagombania nembo kweli timu iliyozaliwa kisiasa haitaacha siasa.
  16. Philipo Kidwanga

    Je utasema watoto wako shule?

    Elli angafanya hivyo pengine sauti ya puani ingetoka ikiwa hivi tswende kule khyooni mpheenzi hapha nghoma.
  17. Philipo Kidwanga

    Ulimi

    mi naupenda ukiutumbukiza baharini wenye bahari yao wanawehuka,aaah ulimiiii.
  18. Philipo Kidwanga

    hizi nazo ni swaga za wapi????

    lakini hapo sio mpirani hapo yupo matembezini na anaonekana dhahiri amekamatia kitu au uroda unamomonyoka?
Back
Top Bottom