Unaanza kwa ku-like posts zake hata kama anaongea pumba, then unakuwa unajibu post zake kwa kumsifia, then unahamia PM, huko sasa unajiachia. All the best..., na mrejesho ulete hapa hapa
Walioathirika yatari PEP Kits haziwezi kuwasaidia coz tayari wadudu wameshasambaa mwilini. PEP kits zinafanya kazi kuzuia wadudu wasisambae na ndio maana mtu anatakiwa kuanza dose yake haraka sana mara tu anapohisi amejiexpose kwenye kwenye maambuziki ya vijidudu vya ukimwi kwa namna moja ama...
Kumtambulisha kwa kaka noma, bora kuanzia kwa wazazi
kaka ana hasira utakoma, atakukatalia wazi wazi
wajomba nao watajinoma, endapo watapewa mbuzi
ukitaka mapenzi ya dhati, ni bora kuyaweka wazi
Analyse, Post Exposure Prophylaxis (PEP). Ni dawa anazotakiwa kupata mtu ambaye anahisi amepata maambuziki ya Ukimwi. Zinatakiwa kumezwa haraka ndani ya Masaa 72 mara tu pale mtu anahisi amekuwa exposed na HIV. Ni kweli 'zinasaidia' sana kuzuia maambukizi endapo muhusika atatumia dawa hizo...
huku hawaji coz vigezo na masharti yake magumu, mpk ufatilize uzi ulioisha uendeleze pale umeishia, lkn kule kwingine ni kujiachia tu kwa raha zako. tena ngoja niende kwenye lile Jukwaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.