Hili ni swali pana sana na halina jibu la moja kwa moja. Inategemea mama yupo na baba au yupo peke yake, kama yupo peke yake kiheshima mnapaswa kumpa offer ya kukaa mbele coz kiafrica kiti cha mbele ni cha heshima yeye mwenyewe ndio akatae aseme atakaa nyuma.
Pia inategemea na mchango wa mama...
Wewe ndio mburullah ambao mnaendekeza huu ushenzi uendelee, surprisingly wewe ni mwanamke. Hivi huyu binti alijipa mimba mwenyewe? Kama huyu mburullah mwenzio alijua hamtaki y hakutumia kinga? Watu wanatakiwa kujifunza kuchukua responsibility ya makosa yao wote sio mzigo abebe mmoja no...
Na unavyosema hamkuwa kwenye mahusiano ulikuwa unamkojolea kwenye ndoto? yaani watu kama nyinyi huwa mnaudhi sana. Kama hukuwa kwenye mahusiano nae hukujua condom? Take ur responsibility mimba hailetwi na mtu mmoja bali ni unganisho la watu wawili na huyo wa pili ni wewe.
Na wewe kwa mtizamo...
Makaura wewe mshenzi kabisa sasa hapa umekuja kumaliza stress zako au? Watu wanakupa ushauri umeng'ang'ana na yako sasa ilikuja hapa ili iweje maana umekuja unaomba ushauri halafu wewe ndio mjuaji. Siku nyingine msiwe mnapost ushenzi wenu humu
Wachangiaji nawapongeza sana tungekuwa wakali...
Kwa kweli huwa sipendi post zako ila leo umeongea ukweli. Hata kuhusu kukanya, hawakanyi watoto wao wakikosea kwa kigezo cha upendo. Wanajidai wanaiga wazungu wakati wazungu wengi tu wako strict na watoto wao, hawachapi ila wana adhabu zao. Leo hii jaribu kumkanya mtoto wa mtu uone mzazi wake...
MadameX napingana na wewe kwenye hili, wapo ambao wameolewa na hata ndugu wa mume na wa mke hawajui vitu ni vya nani. Wapo walioshia kumnyanyasa mke na kusema wanafaidi za kaka yao wakati ni za mke na hao wamama hawakunyanyua kinywa. Kuna kesi moja ambayo ndugu wa mume walikuja kujua vitu ni vya...
Sijam-attack personaly nimeattack kauli yake, there is need for change. Kwanza naomba ujue mimi ni mwanamke na si mwanaume. Point yangu is mbona sisi huwa tunabebwa sana na waume ila hawatunyanyasi, y sisi tuwanyanyase inapofika hatua kuwa mimi nimefanikiwa kuliko yeye?
Labda nikuulize...
Yaani nakubaliana na wewe, madameX umekosea sana unaongelea kumnyali mumeo coz anakaa kwako je na yeye akikufanyia hivyo coz unakaa kwake? Utaitaje kuwa anakunyanyasa? Maisha hayana formula leo mume anacho kesho mke anacho mnachotakiwa ni kulindiana heshima. Tena ni jukumu la mama kulinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.