Me nashindwa kuelewa,hv kama mtu anaandika kitu humu jf,ambacho kiasi cha akili alichotumia ni 0.0001 per think, anawezaje ku-access mtandao hadi kufika jf ambayo kiwango cha akili kidogo kinachohitajika ni kibwa compare to his/her topic? Jaman humu kuna forums nyingi za kutosha kukidhi mahitaji...
Wakati maandalizi ya zoezi yanasemekana kupamba moto, pia kuna changamoto nyingi pia zimejitokeza katika maeneo mbalimbali hasa pale walipotangazwa wasimamizi wa shughuli hiyo. Inaelezwa kuwa uteuzi wa makarani umekabiliwa kwa kiasi kikubwa na :-
1.rushwa
2.ukiukwaji wa principles za...
Vibaka wa CCM acheni kutumwa bila kupewa akili na principle za kazi yenyewe,hv zitto angekuwa fisadi kulikuwa na haja gani kuwa na operation ya kuwafichua mafisadi? Si angeungana nao kisela tu kama wanavyofanya ccm waliokutuma? Me naelewa jamii imekuwa na ckio la pekee kwa sababu ya wa2 kama zitto.
Nashangaa hata jf pia CCM wameweza kuaccess duh? Ndo maana baadhi yenu mnaongea maneno ya kinafiki na kutuhumu wa2 ambao kiukwel bila wao watanzania wengi wangekuwa bado wanasinzia kifikra,kisiasa safi,na ugonjwa wa kutotambua haki zao.ZITTO USIWE NA WASIWASI JUU YA VIBARAKA WA CCM WALIOTUMWA...
Safi sana ina mafunzo na mantiki ya kutosha. Shauri yenu mnaosema ametunga,oh mara uliwahi kuisoma! Hatuhitaji kujua wangapi wamewahi kuisoma bali ni wangapi wameifanyia kazi na kufaidika nayo.
Mr mbute,incase of your 2 questions the important issue is to stay on towards the company's main objectives as already mentioned, and in addition the company has a mission of not to fail her goals as it needs so much your admition and more cooperation for high success, so the cooperation is easy...
***** is registered under the companies ACT,2002 in the united republic of TZ.The main objects for which the company is established is to develop,educate,train and equip african women,men,students and scholars community in particular with knowledge,information,skills,competence and...
Kama ilivyo ada tunaelewa elimu ndo kila ki2, japo kuna wahun wanasema eti hela ndo kila kitu,ambapo ni SAWA NA MATUSI YA MATAWI DHIDI YA SHINA kigezo menyewe yanaonekana zaidi ila hayana nguvu na mzazi ni shina.tuulizane hadi lini mtanzania wa kawaida atakuwa na elimu ya...
Kuna mambo tukiwa kama jamii lazima tuyachunguze na kuyaelewa kwa sababu yanatuzunguka au yanasemwa, na ikumbukwe lisemwalo huwa lipo. Ebu tujiulize kuwa na viongozi hasa wa kisiasa waliojiunga ktk imani binafsi ya mafreemason hawawezi kutupotosha kwa namna kadhaa hasa kulingana na sheria za...
Na we dada acha mambo ya ajabu, unaleta kivuli bila sababu. Kwani amekufanyia nn unashindwa kufunguka? We hutaki ushauri unaleta usumbufu, hata bible yenyewe kwenye kweli imesema hivyo hivyo.
Sombdy nyumba kubwa and others like u! You are so down and shallow in case of moral values and also obvious you uses feeling rather than awareness in your daily operations.
We sio wakuziba bali wakuzibuliwa,mwanzoni nilidhan unaushauri wenye kuleta tija,lakini tatizo una elements za kutumwa kisiasa na mtu au mwenyewe bila kupewa njia na mwongozo mzuri wa kuleta hzo fitina zako, slaa ni jembe tu na wala hajabadilika,mambo ya ndoa ni ya wa2 binafsi na hayamfanyi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.