Search results

  1. F

    Ankara ya maji jijini Dar thnalipia DAWASA au DAWASCO?

    Wadau nnaomba kuuliza, bill ya maji hapa Dar tunawalipa DAWASA au DAWASCO?
  2. F

    Sabodo: Sitawapa tena CHADEMA pesa yangu, nitampa Rais Magufuli

    Sio billioni 5, USD billioni 5 hata mimi nimeshangaa dollar bil 5 atoe wapi?
  3. F

    Watu 9 wa familia moja wamefariki Buguruni Malapa kwa ajali ya moto

    Daah... it's so sad... may the Lord God strengthen huyo baba na ndugu wengine...
  4. F

    Msaada kwenye hotspot ya iPhone 4s

    Anhaa... I was afraid, for instance network ikazingua during updating, af ikaishia njiani, kunatatizo lolote linaloweza nitokea? Sent from my iPhone using JamiiForums app
  5. F

    Msaada kwenye hotspot ya iPhone 4s

    Ivi inachukua mda gani ku update OS nzima?? Sent from my iPhone using JamiiForums app
  6. F

    Msaada wa haraka tafadhali!!!!!!!

    Laptop yangu imegoma ghafla... Inasema, "your PC has run into a problem... nimejaribu baadhi ya commands km Sfc scannow.. bado imegoma. Naombeni ushauti wenu wakuu
  7. F

    Msaaada tafadhali!!!!!

    Jinsi ya kutuma files kutoka kwenye PC kwenda kwenye iPhone, files kama vitabu, slides nk.... Kila nikijaribu kutuma kawaida km kwenye simu nyingine inakataa!! Je, na kufanya hivi pia kunahitaji itune??
  8. F

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    This is getting serious... Get well soon though i dnt like what you have been spreading....
  9. F

    iPhone 4S

    We km hujaelewa huna haja ya kujibu, "hata mjinga akikaakimnya anaonekana anabusara" bora ukae kimnya.....
  10. F

    iPhone 4S

    Mkuu nauliza bei ya dukani ikiwa brand new....
  11. F

    iPhone 4S

    Naomba kufahamu bei halisi ya iPhone 4s 16GB ..... Msaada tafadahili...
  12. F

    Kupata mimba kwa style hii Inawezekana?

    Ha ha ha... Paradiso, ni swali tu nimeuliza kutokana na mabishano yaliyokuwa yanaendelea huku, it has nothing to do with my personal life.
  13. F

    Kupata mimba kwa style hii Inawezekana?

    Tnx kawakama, u ar welcum..
  14. F

    Kupata mimba kwa style hii Inawezekana?

    Ahsante mkuu, nazidi kupanua mawazo yangu.
  15. F

    Kupata mimba kwa style hii Inawezekana?

    Tnx keen, actually swali lilikuwa 1 day before bleeding, hiyo during bleeding nimeongezea tu ili nijue zaidi.
  16. F

    Kupata mimba kwa style hii Inawezekana?

    Je, msichana anaweza pata mimba akifanya mapenzi siku 1 kabla ya bleeding au wakati wa bleeding? Mchango wenu tafadhali..
  17. F

    Mbona wanafunzi wa udom wanaonewa hivi

    Huyo hajakwambia ukweli, kachelewa kusaini, wengine mabum yetu ndo yanaishia hivyo!
  18. F

    Batch ya 4 udom wizi na ufisadi wana jf kilio hiki kiende wapi?

    Ha ha ha... Hata me cjayaelewa haya matokea! Ni ya tz au?
  19. F

    Mwanafunzi mpya Chuo Kikuu ajinyonga(1st yr)

    May his soul rest where it deserves.. Aamen.
Back
Top Bottom