''sikio la kufa alisikii dawa''..mambo mangap yamesemwa lakin wanaendelea kulindana...hili CHAGUO LA MUNGU litakuwa na wakati mgumu kweli 2015 KUCHAGULIWA tena
ujumbe aliodaiwa kuandika dr.slaa kwa IGP.aliandika sababu alijua yote yangetokea hata asingeandika,kwan mauaji ya ARUSHA,MWANZA na kwingine yalisababishwa na ujumbe wa dr.slaa???..ni wakati wa jeshi la polisi kukubali limekuwa likitumia nguvu sana kwa raia na iyo inachangia wananchi kuzidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.