Kama hatuwezi kumpeleka raisi na kurudi salama basi hakuna haja ya kutuniana misuli na hawa watu.Au jeshi letu pamoja na intelgence unity na kikosi maalum cha ulinzi wa Rais vinauwezo wa kupamban na watu wa Mtwara tu.Woga ni umaskini sis ni Taifa linalojimudu kiulinzi ndio maana tupo...
Rais wangu nakupenda na kuamini ila kama unaongoza Jeshi ambalo haliwezi kukulinda basi bora utuambie ili tujue hawajakudhuru kwa kuwa hawajaamua.Kama vyombo vyetu vinauwezo wa kukulinda tafadhali nenda
Mleta mada kuna ujumbe alitaka kutupa ila tatizo kaongozwa zaidi na hisia.Bosi alisema wahamiaji haramu.Na wasipoondoka mpaka tarehe hiyo nasema wapigwe tu.
Nimefurahi member hapa mmebalance mambo maana hata ungeendesha speed 50.5 kwa maelekezo ya hapo ni makosa.Ukitaka kupata haki ni lazima ujali na haki za wengine
Humu inaelekea kuna Paka pori yaani mtu anasema hana huzuni na kifo cha mwenzetu! Acha mambo mengine yote jali ubinadamu wetu kwanza nimeshtushwa sana na kauli hii watu hawa nawaweka kwenye kundi la paka pori.
Naomba kuelimishwa nini malengo ya maonyesho ya Saba Saba na Nane Nane? Ni wahusika wa nyanja gani wanapaswa kuwepo kwenye Saba Saba na Nane Nane.Nimekuwa nikiona walioshiriki Saba Saba ndio hao hao nawaona Nane Nane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.