Kwa kawaida msomi anatakiwa awe huru kabisa kimaoni na kifikra.Sasa hawa wasomi kama kina michael kadeghe (dr.)huko kwenye ukuu wa wilaya walikochimbiwa sijui watakua huru.
Walimu tusikate tamaa,wataeleweka tu.NO PROGRESS WITHOUT STRUGGLE!ALUTA CONTINUA!VIVA TEACHERS!VIVA CWT!WE HAVE TO SHOW THEM WE ARE THE JACK OF ALL TRADES.AMAAAAANDLAAAAAAAA
Ni kweli ndugu.Viongozi wangapi wa serikali walienda kunywa dawa hiyo na wakaipigia debe,leo babu ndio mwenye makosa.SERIKALI HII YAANI NI DHAIFU SANA.Hawataki kuboresha huduma za afya ili kuhalalisha watu wakaliwe na waganga wa kienyeji.
Hata kina ghadafi wamekaa madarakani miaka dahari wakajikweza mwishowe wameshushwa,wasioona tabu tunazopata walimu na watumishi wengine wa serikali ya dhaifu nao ipo siku watashushwa.Acha walewe madaraka.VOX POPULI,VOX DEI.
Huwa nakufeel sana Mwanakijiji.
Ingawa kuna mambo Nyerere alifeli, lakini alikuwa na msimamo, alichukia rushwa na hakupenda utajiri na sifa. Eti MHESHIMIWA! PTUUUUU!
Hebu rejea hotuba yake anayosema serikali yake ilivyowabana mtoa na mpokea rushwa. Wote walikuwa 'MAGANYENGE'. Wote walipata...
Nguvu ya umma haijawa coordinated vizuri.Wananchi wengi bado wanaogopeshwa na matukio ya kukolimbiwa,kukombewa,kubalaliwa na kuulimbokiwa.Kina mnyika sijui kama wanaweza kutuandalia taharir square.Nyerere aliliweza jeshi la tanzania kuwa ni la WANANCHI sio jeshi la jeshi,halifurukuti kwa...
Wadanganyika tushadanganywa hapo,na tulivyowapole basi kwisha.Hizi mahakama ambazo zimekuwa kikwazo ni kutumia BOKO HARAMU,au AL SHABABU kuzilipua ndio watajua tumechoshwa na upuuzi wao.
Labda ndio keshaoteshwa hao maadui 11 wala sio URAHISI wa nchi hii.URAHISI wa nchi hii huoteshi,jua kuwakashfu wagombea wenzio kama alivyofanya DHAIFU,basi ushashinda kwa 81%.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.