Search results

  1. hovyohovyo

    Aibu Dereva wa Daladala kumtukana Trafiki Polisi matusi ya nguoni

    Laaa!! unaongeza makofi mawili tena!! umetisha zaidi mkuu
  2. hovyohovyo

    Msaada: Brake Light Rubber

    Ndugu zangu, Nissan xtrail yangu imeleta shida. Taa za breki hazizimi na ktk kukagua nikakuta kwenye brake pedal kuna ki-rubber kimesagika hivi na vipande vimedondoka. Fundi kasema kuwa kuna ki-rubber au kiplastiki chini ya pedal ndo kinahusika Replacement yake mpaka kupata kingine au kuchongea...
  3. hovyohovyo

    Kwa Waliosafiri Nje ya Nchi kuanzia Julai Mosi, Je ni passport Mpya au ya Zamani

    No; sina visa. Isipokuwa ni nchi ninayokwenda nitapata visa on arrival. That's it.
  4. hovyohovyo

    Kwa Waliosafiri Nje ya Nchi kuanzia Julai Mosi, Je ni passport Mpya au ya Zamani

    Asante. Huo ndiyo mpango; acha niende, nikirudi nishughulikie.
  5. hovyohovyo

    Kwa Waliosafiri Nje ya Nchi kuanzia Julai Mosi, Je ni passport Mpya au ya Zamani

    Kwa ufafanuzi huu, umeokoa jahazi sana mkuu. Shukrani sana.
  6. hovyohovyo

    Kwa Waliosafiri Nje ya Nchi kuanzia Julai Mosi, Je ni passport Mpya au ya Zamani

    Asante. Samahani. Swali langu ni je hapo airport utaruhusiwa kupita? Kuna nchi ambazo unaweza kupotezea kuprocess visa kabla kwa maana unaweza kwenda ukapata visa on arrival. Sasa kwa hapo inakuwaje? Uhamiaji wataniruhusu na pasi yangu inayoisha 2021?
  7. hovyohovyo

    Kwa Waliosafiri Nje ya Nchi kuanzia Julai Mosi, Je ni passport Mpya au ya Zamani

    Wakuu, naomba kuuliza. Kuna taarifa kuwa ili kusafiri nje ya nchi kuanzia July mosi ni lazima kutumia Pasi mpya. Kwa upande mwingine kuna taarifa kuwa mwisho wa kutumia pasi za zamani ni Januari 2020. Naomba waliosafiri kati ya Julai mosi watupe uzoefu kuhusu hili. Asanteni
  8. hovyohovyo

    Kariakoo ni kero, machinga wamejaa kila kona

    Kariakoo ni shida kwa kweli. Sijui hata wale wenye maduka rasmi kama wanafanya biashara vizuri. Kwa kuwa Rais ni taasisi na ana macho/masikio mengi, ngoja tuwe na subira. Maoni yetu yatamfikia one day.
  9. hovyohovyo

    Kwanini Posta wamejaa wazee na ukiritimba mwingi?

    Kote tu katika ofisi za serikali wazee ni shida and slow. Kuna mmoja pale TRA Iringa, tena frontdesk, ni kazi.
  10. hovyohovyo

    Sukari Tsh 4000 watu kimyaaa

    Jana nimepita Nakumatt na Game sukari hakuna. Nikaipata Mwenge kwa sh. 2700. Imagine! Sukari imekuwa bidhaa adimu.
  11. hovyohovyo

    Rais Magufuli azitaka NGO’s kufungua shule za wenye mimba kama zinawapenda

    Pointi ya maana sana hii. Kelele nyiiiiingi ni kama vile kuna utaratibu uliokuwepo awali uliokuwa ukiruhusu 'wazazi' kurudi darasani katika mfumo rasmi. Mjadala unaotoshwa. Congrats ndugu mchangiaji
  12. hovyohovyo

    Taarifa kwa vyombo vya habari juu ya unyanyasaji na udhalilishwaji wa madaktari nchini

    Looks like Kamera za Waandishi wa habari hupandisha mori na munkari kwa baadhi ya wanasiasa. Dhana ya kuweka watu lupango inatumika vibaya
  13. hovyohovyo

    Gwajima: Kutakuwa na Ugeni wa mzee kutoka kijiji cha KOROMIJE

    Kiongozi wa Kanisa lolote ni image ya wanaKanisa anaowaongoza. I can imagine what kind of faithfuls wanaongozwa na Bishop G. You see, dini zitusaidie kuleta amani na kusameheana. Right now, watu wanadhani the Bishop is winning; but I am afraid kwamba hatujui what the other side will or is...
  14. hovyohovyo

    Taarifa kwa Umma: Kanusho la Taarifa za uzushi kuhusu afya ya Mzee Mwinyi

    Naona watu bado hawajaelewa sheria ya makosa ya Mtandao inavyofanya kazi. Inakuwaje mtu mzima na akili yako uanzishe uzushi kama huo? Kwa faida gani hasa? Ni ajabu kabisa1
  15. hovyohovyo

    RC Makonda agoma kuzungumzia kughushi vyeti

    Politics aside, why would Makonda's education background be of interest now? Mimi nafikiri histroria ya elimu yake si muhimu. Kwamba ameaminiwa na Rais inatosha kwani hicho ndiyo kigezo muhimu kabisa. Ikiwa haturidhiki na utendaji wake wa kazi, tumsaidie kwa kutoa ushauri ambao ni constructive...
  16. hovyohovyo

    Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na mama yake wahamia CHADEMA kutoka CCM

    Ametumia haki yake ya kidemokrasia kufanya maamuzi. Swali linabaki je ni wakati muafaka? Why now? Yapasa mashabiki wake wapewe maelezo juu ya swali hili. Haiwezi kuwa coincidence tu!
  17. hovyohovyo

    Mwandishi wa habari ITV KHALFAN arudishwe ndani kwa madai kwamba wao polisi hawana kesi na KHALFAN

    U Umeona eeeh!! This is going too far. Wakikupata wenyewe utawaeleza!
  18. hovyohovyo

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela

    Hoja hii imekaa vizuri sana mkuu. Mimi nimekuelewa. Unasisitiza Utaratibu wa kuripoti jambo kama hili. Hii si kama cholera kwa kweli.
  19. hovyohovyo

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Hili suala la mikopo sijui litakuja kutengamaa lini. Watu wakae chini watengeneze kanuni na formula ambazo hazitaleta malalamiko, after all, huu ni mkopo tu.
Back
Top Bottom