Kwa kweli inasikitisha sana kwa utendaji wa aina hii wa viongozi wa Serikali! Unavunja nguvu watumishi na hivyo kuzorotesha utendaji.
Mnamo juzi 5 julai 2012 kama sikosei ni siku ya alhamisi DC wa Korogwe (Mrisho Gambo) alimsweka ndani mhandisi wa maji wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe eti...
Habari wapendwa wote. Ni furaha kubwa niliyonayo kuweza kujiunga na jf ili kusogeza gurudumu la maendeleo mbele.Kwaheshma na taadhima jamani naomba niwe mmoja wenu! Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.