Ni dhahiri kwamba utaratibu wa kumpata mfalme Daudi haufanani na utaratibu wa wafalme wetu wa sasa (Tunawaita marais lakini ni wafalme tu) Ndio maana tumeshuhudia mfalme wetu akimtoa babu Seya na mwanaye gerezani maana kauli yake ni ya kifalme na ni sheria!!!! Sina maana wafalme hawakosei lakini...
Wafalme Hawakosolewi!!!!
Hakuna mfalme anayeweza kufanikiwa kutawala watu wa Mungu ikiwa yeye hana Mungu. Nikitumia Biblia kama kitabu cha rejea, watawala wengi sana wametajwa kushindwa au kuangamia kwa sababu hawakudumu katika maagizo ya Mungu.
Sauli alikuwa ni mfalme wa kwanza katika taifa...
Asante sana Koh Koh, kiwango hicho ni kwa mwezi mzima na ukitaka hosting ya mwaka mzima unazidisha mara 12. Unaponunua hosting ya mwaka mzima utapata discount nzuri kabisa na utaokoa zaidi pesa yako huku ukiitangaza biashara yako dunia nzima. Pia kama huna website tutakutengenezea bure kabisa...
Kuwa na website yako kwa ajili ya biashara, taasisi au wasifu wako kwa sasa ni rahisi zaidi. Kwa 20k pesa ya Kitanzania unaweza kuhost website yako kwa mwezi mzima. Hakuna gharama za ziada wala zilizofichika. Utapata huduma zifuatazo:
One Domain name bure
Utapata Control Panel yako ya CPanel...
Je, unahitaji kusanifiwa nembo, vocha, makava ya vitabu, business cards, business documents na vingine vingi? Tembelea kwenye tovuti yetu ili uchague utakacho kwa buku tano tu: www.bukutano.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.