Ndugu yangu huyo dada kuna mahali pengine alikuwa anategemea ndio maana alikuwa anakufanyia vituko,sasa huko nako amegonga mwamba ndio maana anataka kurudi kwako kwa speed kubwa,shikilia msimamo wako akipiga usipokee wala usijibu mesage zake,akibadilisha simu ukigundua niyeye mkatie,akikusumbua...
Unaweza kuielezea weakness ikawa strength mfano unaweza kusema udhaifu wangu ni kutopenda kuona nashundwa kufikia malengo yangu ya kazi niliojiwekea kwa siku,na maneno mengine ambayo yanakuwa ni strength lakini unaifanya kama weakness,nenda kwenye google utafute common interview questions...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.