Miye nashangaa sana hawa wabunge wanapitisha sheria ambazo wao haziwahusu wao wakimaliza muda wao wanalipwa chao hawasubili mpaka miaka 55 kwanini sisi ndiyo watupitishie sheria kandamizi kwanini?
Wafanyakazi wote tuwe kitu kimoja katika hili nasi huku geita tumeamua kuwa jumamosi tutakuwa na maandamano ya kuipinga hii sheria kandamizi kwa wafanyakazi.Sisi huku tumewapa muda mpaka jumatatu wawe wameiondoa hiyo sheria kandamizi hivyo tuungane pamoja kuipinga na hata ikiwezekana kugomea...
Wafanyakazi tulioko migodini hasa GGM tumepatwa na ugonjwa wa NSSF Syndrome baada ya kuambiwa kwamba kuna utaratibu unakuja ambao mtu hataweze kuchukua mafao yake mpaka afikie umri wa kusitahafu.Jamani wanajamiii wenzangu mtusaidie michango yenu ya mawazo
Ni kweli masuala ya udini hayana nafasi siye tunachoitaji ni utendaji wa mtu na si dini yake ebu nikuulize wewe mheshimiwa unaye endekeza mambo ya ubaguzi wa kidini hivi unafaidika na mimi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.