Sorry kwa kutoleta feedback. yeah waliona hawa watu, ndoa yao ina mwaka na wana mtoto tayari, so far wako poa ingawa wao ndio wanajua ndani kwao kukoja, lakini from a curious eye, wako vizuri. Shukrani kwa wale walitoa mawazo yao
Pole sana ndugu yangu kama ni kweli unadhani hakuna na hakuna kabisa. tena yeye sio 32 PHD aliipata mwaka jana akiwa na 31. Endelea kuamini hakuna sina msaada kwako
Habari zenu wakuu. Naombeni mawazo yenu nimsaidie dada yangu maana yuko katika wakati mgumu wa kuamua.
Ni dada mwenye miaka 32, mtoto mmoja, elimu ya PHD.
Amekutana na mwanaume, mfanya biashara wa kawaida tu, elimu std 7, anaemzidi kama miaka mitatu.
Wanapendana na mwanaume amepropose...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.