Hao ndio wapiga kura leo huwataki, uchaguzi ukifika sio wachawi tena ni watu muhimu sio? Weka akiba ya maneno basi. Nionavyo mimi maraisi wrote ni bora tu ubaya unakuja kichwani mwako, TUSIGAWANYIKE WATANZANIA
Sioni kama chama kinaweza kuleta tatizo. Mchanga ukiingia jichoni hawatoi jicho. punguza munkari mkuu kila nabii na kitabu chake. Kiongozi sio nabii na asiwe na mapungufu. Mazuri yanayofanywa apongezwe na anayosahau ashauriwe kwa hekima lakini si kwa majina yakukinaisha.
Kutokana na stori nzima aliyosimulia the bold nahisi DB Cooper alikuwa ni ALIEN, wajaribu kumach DNA zilizopatikana katika vitu alivyoshika na za mwanadamu wa sayari yetu kwanza
Mkuu mshana jr. Kwa mujibu wa maandishi yao kule mashuleni ni kwamba mwanadamu hakutokana na nyani isipokuwa alikuwa miongoni mwao. Yaani katika makundi ya manyani, masokwe etc(modern apes) na mwanadamu alifanana nao mubashara kabisa. Lakini kutokana na mabadiliko ya mazingira mwanadamu alianza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.