Kaka umenena! Wanaotaka Uli aongee wengi wao ni wanafiki na Watu wenye nia mbaya, tumezoea krona mtu anafanya hayo wanayoyapenda wao, daktari atulie ajipange sababu vita yake ni kubwa sana na yeye pekee ndo anaoweza......tusianze kumpa mbinu za kumpoteza.... I HAVE FAITH IN ULIMBOKA AND WHAT HE...
Someone or some people have a target of spreading wrong information for their own benefit, this is one of the information. By the way I know Dr Ulimboka cannot be bought or lured by anything... Wanachofanya ni kuchokonoa ili jamaa aongee na Tetesi ni kuwa jamaa anajipanga... People should learn...
"Mimi mzima na niko tayari kwa lolote, ahsanteni wanafamilia, madaktari na watanzania wote" Kauli ya Dr. Ulimboka akibubujikwa na machozi... Wadau, karibuni Kwenye season infinity ya mgomo aw madaktari.
Mhe. Rais wa TAJA ulipewa ahadi gani baada ya kuandika taarifa hii!? Wengi wameshangaa elimu yako ila mi ninashangaa uwezo wako wa fikra na kupambanua. ni haki yako kuhoji utendaji wa mahakama lakini kuidharau unakosea Mhe. suala la kujiita msomi na kudharau uwezo wa watu kisa CV naomba tuanze...
kinachotokea tanzania leo, napata picha ya tunakoelekea. Naliona jeshi la ukombozi ambalo nyinyiem mtaliita waasi likiongezeka, madaktaqi sina shaka wamejaa na walimu wanakuja..naomba ulimboka akija awe amiri jeshi mkuu, watu waingie msituni.
kinachotokea tanzania leo, napata picha ya tunakoelekea. Naliona jeshi la ukombozi ambalo nyinyiem mtaliita waasi likiongezeka, madaktaqi sina shaka wamejaa na walimu wanakuja..naomba ulimboka akija awe amiri jeshi mkuu, watu waingie msituni.
nimeambiwa kuna nchi moja ya jirani imesema ingependa hata kuwachukua wote, watanzania ambao kazi yao ni kushangilia jinsi serikali yao inavyovurunda wamekaa kimya...wanadhani wanawakomesha madaktari, uhalisia kwa mikoa ya dar es salaam na pwani uwiano wa daktari na wagonjwa ndiyo 1:30,000...
It is a government body, working under the ministry of health.. the chairperson of the council is the chief medical officer who is the presidential appointee. Na miongoni ya maorodhesho yaliyotolewa na madaktari na kuchukuliwa na kamati ya bunge ni kuhusu ku'review structure na function ya...
Majibu hayo si ya kiutawala bali ni ya kibabe, hasa hasa pale ambapo sehemu kubwa ya hotuba aliyoitoa ilipokuwa inapotosha umma, kuingilia uhuru wa mahakama na hata tume ya uchunguzi wa hali ya Dk. Ulimboka. Hii siyo nafasi tu kwa ajili ya madaktari au viongozi wa dini kuwa na fursa ya kusaidia...
TAMKO LA PAMOJA LA VIONGOZI WA DINI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI LEO TAREHE 07/07/2012, TRAVERTINE HOTEL, DAR ES SALAAM.
(Viongozi hawa walitoa tamko baada ya kukaa na madaktari, wanaharakati na watu wa taasisi za haki za binadamu...)
1. TUNAIOMBA SERIKALI IFUTE KESI ILIYOKO MAHAKAMANI
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.