ili kufanikiwa lazima uwe umeanzia mahali fulani. kama kafanya vizuri bungeni ni jambo zuri kwani tulimpeleka awatuwakilishe huko mjengoni. huko kafanikiwa bila shaka hata mambo ya kilungule yatafanikiwa, ila tusitake yote yafanikiwe kwa wakati mmoja , haiwezekani kijani. MBONA CCM WENYE MIAKA...
naamini habari hizo zitakuwa za kweli, mbona Mwakyembe alilalamika hivohivo mkanyamaza hadi yakamkuta masaibu yaliyo mkuta...na hili mnataka yatokee msingizie majambazi?
vitisho hivi siyo vya kupuuza. naamini vinaukweli... mtu siyo mwendawazimu asimame aseme usalama wake upo hatarini. na hao waliotuhumiwa kawa siyo kweli basi wapeleke swala hili mahakani kama zilivyo kesi nyingine mahakamani. ikumbukwe huko nyuma kuna viongozi waliwahi kusema wanatafutwa...
hebu nisaidieni, hili swala la baadhi ya viongozi hao kuwa wanatafutwa na vyombo vya dola wauawe au wateswe kama slaa alivyo nukuliwa je zinaweza kuwa na ukweli wowote?
degree za chupii? inamaana wanasemwa dada zetu kuwa vilaza wanategemea kutoa...ndo wafaulu. je hakuna wanaume wanaopata digriii hewa na hawa tutaita wanapata degree za aina gani? au nao hivohivo?
yes, one can think that way, but siamini kama bunge zima ni simba na yanga. wanaweza kuwepo mashabiki wa azm, mtibwa...., kwa mazingira ya tanzania ya sasa, ni vigumu kuwatenganisha watanzania na u-simba na u-yanga.
pole kama umekuwa adicted. wazo lako la kuacha pombe ni jema. mimi nilikuwa nakunywa pia, niliacha miaka zaidi ya kumi imepita sasa. uwe na uamuzi wako mwenyewe, usitegemee kushawishiwa na mtu, jiwekee mikakati ya kuacha kunywa, kwa mfano unaweza kujipangia usiguse pombe wiki nzima, ukifaninikwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.