pole sana mkuu naona na wewe akili zero kama ulisoma hukuelimika....acha mkumbo wa propaganda,kwnye madai ya madaktari ulisoma mshahara tu? hivyo vitu vingine saba hukuviona? na hao mafisadi wangekuwa wanapelekwa mahakamani na kurudisha hela yako ya kodi waliyokula ndo ungejuwa...
mkuu think before you talk....sorry b4 you write. wewe hukuwepo au hukusoma kwenye vyombo vya habari ama magazeti ama internet kipindi kile mgomo wa kwanza,madaktari wali present to the public madai yao almost 7 of them, waziri mkuu alipoitisha mkutano wa madaktari na vyombo vya habari that...
mkuu i wish i could hug you right now,this has been the trend in this hopeless country...people who dont know their own rights and its still the same people complaining that madaktari wauwaji...watanzania ndo chanzo cha matatizo yetu wenyewe so dont point the fingers at the doctors wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.