Habari wana JF
Natafuta gari la kununua. Napendelea zaidi Suzuki Escudo ambazo si V6 au RAV4. Liwe katika hali nzuri kimuonekano na lisiwe na matatizo ya kiufundi. Kama unalo au unajua mtu aliyenalo nicheck kwenye bendashy@gmail.com
Kwa mmiliki aambatanishe na picha za karibuni
Thanks
Ben
Habari zenu wana Jf, naomba msaada wenu kunijulisha ni mambo gani ya msingi ya kisheria kuyafanya unapotaka kununua gari kwa mtu binafsi yaani gari lake analolitumia au unapoenda showroom hasa jinsi ya kulipana pesa, mashahidi wa kuwatumia, uthibitisho kama gari si ya wizi (hasa unaponunua kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.