Nimejaribu kupitia mada kadhaa kuhusu video inayodaiwa kumuonyesha Mkurugenzi wa Usalama na Ulinzi wa CHADEMA Bw. Wilfred Lwakatare akitoa maelekezo ya kumdhuru mwandishi wa habari - na kuona kuwa waanzishaji/wachangiaji karibu wote waliojaribu kutoa hoja kuhusu video hii imerokodiwa lini...
Barabara za juu kwa juu zina umuhimu wake LAKINI si katika level hii ya maendeleo ya Jiji la Dar Es Salaam! Maji taka ya chini kwa chini yatushinde leo hii barabara za juu kwa juu tutaziweza? It's all about "na sisi tunazo" at least for now!
WEEK IN REVIEW - FROM June 30th TO July 6th, 2012
1. The Plight Of Dr. Steven Ulimboka
Dr. Steven Ulimboka, chairman of the Medical Association of Tanzania (MAT) Steering Committee, almost lost his life after getting attacked by unknown people. The government has denied any involvement in this...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.