Wazanzibari wenzangu wala tusiwe na wasiwasi Mashekh wetu watawatoa kutaka wasitake, hilo la Watanganyika kujifanya wao kuwa watawala wa Zanzibar lipo ukingoni.
Kwa Taarifa za ndani Mashekh watatolewa tarehe 20/11/2012. Waaacheni Watanganyika na ujinga wao, labda linalowApa kiburi ni dhana...
Soraga hana umaarufu wwte wacha kumwaga sifa za kipuuzi.
Soraga amevuna alichopanda, wacha aonje utamu wa fitna zake kwa waislam wa znz.
Any way Allah ampe afya njema huenda akajifunza.
Utamaduni wenu (TANGANYIKA) ndio vibwebwe lakini, kwa Wazanzibari na WAISLAM ni MABUIBUI, SHUNGI NA KILEMBA AU SHUNGI kwa wanawake na KANZU, KOFIA AU KILEMBA NA SHUKA kwa wanaume.
Wacha UAMSHO wachukue jukumu la kuingo'a SIASA Chafu ya Democrasia huko Zanzibari na badala yake waweke Mfumo wa SHARIAH ili heshima ya Zenji irejee kama ilivokuwa mwanzo.
Tz imeblokiwa kwa madeni walionayo. wacheni propaganda za kipuuzi sisi tuko hukuhuku ughaibuni na tunatuma pesa kwenda Zanzibar kama kawaida msiwadanganye watu kwa kisingizio cha Iran.
Wazanzibari wanapigania kujitoa kwa uhuni wa muungano huu, alafu Malawi ijitie kwenye pori hili, never never never never never never never never never never never never never never!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kushapigwa na akili zako na chuki binafsi dhidi ya Wazanzibari, utawaona hivohivo lakini chuki zako hazitosaidia kudumaza mawazo yao ya kudai nchi yao.
PUMBA zako, hufai hata kuitwa Muislam kwa utumbo wako huu !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wacha upotevu wako na dharau kwa waislam Wenzetu. Kwa Wazanzibari hakuna tatizo kuigomea sensa kwani na wao wanasababu zao za msingi pamoja na kuwaunga mkono wenzao huku T.Bara, pia sa7bu zao...
Hawa akina Lowasa wanajitafutia umaarufu kwa karamu ya watu only, sasa hata hio Tanganyika apo wanatafuta nini zaidi ya ugomvi na Malawi. Waambie wakimaliza kuuwaa watu wa Malawi tunawasubiri huko The Heig.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.